EntertainmentTrending

NASRI ASTAFU SOKA LA KULIPWA

Mchezaji wa zamani wa Arsenal kiungo samir nasri ameamua kustaafu soka la kulipwa akiwa na umri wa miaka 34

Nasri ambaye alicheza arsenal kabla ya kutimkia Manchester city ameona ni muda muafaka wa yeye kutundika daluga Unamkumbukakwa lipi Samir Nasri??photo courtesy

Back to top button